TUMA MAOMBI YA MIKOPO KWA MWAKA WA MASOMO 2017/2018

TUMA MAOMBI YA MIKOPO KWA MWAKA WA MASOMO 2017/2018

MNATANGAZIWA KUWA BODI YA MIKOPO YA ELIMU YA JUU IMEANZA KUPOKEA MAOMBI YA MIKOPO KWA MWAKA WA MASOMO 2017/2018. MCHAKATO WA

MAOMBI UMEANZA TAREHE 06 AGOSTI, 2017 HADI TAREHE 4 SEPTEMBA, 2017.

KWA YEYOTE MWENYE NIA YA KUOMBA MKOPO UTARATIBU NI KAMA IFUATAVYO:

1.ZINGATIA MIONGOZO, VIGEZO NA HATUA ZOTE ZA KUOMBA MIKOPO KAMA ZINAVYO AINISHWA KATIKA TOVUTI YA BODI YA MIKOPO. BOFYA HAPA: http://www.heslb.go.tz

2.BAADA YA KUKAMILISHA MCHAKATO WOTE (YAANI UMESHATUMA MAOMBI YAKO BODI) UTAHITAJIKA KUTOA TAARIFA CHUONI KUPITIA KWA WAZIRI WA MIKOPO. TUTAHITAJI TAARIFA ZIFUATAZO:

I.NAMBARI YA MTIHANI WA KIDATO CHA NNE (MFANO: S0329.0001.2016)

II.JINA KAMILI III. JINSIA

IV. NAMBARI YAKO YA USAJILI CHUONI (MFANO: TUMA/BAED/16/072976)

V.PROGRAMU UNAYOSOMA (MFANO: BAED)

VI. MWAKA WA MASOMO ULIOPO KWA SASA (MFANO: MWAKA AU 2) VII. MWAKA WA MASOMO UNAOTARAJIA KUINGIA (MFANOMWAKA AU 3) VIII. BENKI UNAYOTUMIA (MFANO: CRDB)

IX. NAMBARI YA AKAUNTI YA BENKI YAKO (MFANO: 0152407397500)

3.TUTAPOKEA TAARIFA HIZI HADI TAREHE 11 SEPTEMBA, 2017. BAADA YA HAPO CHUO KITAANDIKA NA KUTUMA BODI, BARUA MOJA YA PAMOJA, KUWATAMBULISHA WANAFUNZI WETU WOTE WALIOOMBA MIKOPO.

DAWATI LA MIKOPO – TUMA

AUGUST 9, 2017

See also

HESLB | Higher Education Students Loan Board |

Fisheries Education and Training Agency | FETA |

TCU | Tanzania Commission for Universities |

National Council for Technical Education | NACTE |

Admissions for Universities in Tanzania

Examination Results for Universities in Tanzania

Selected Candidates / Applicants

Necta Examination Results

International Scholarships for Tanzanians to Study Abroad

Sponsored Links

Leave a Comment