TAARIFA KWA UMMA

TAARIFA KWA UMMA

CHUO KIKUU CH A SAYANSI NA TEKNOLOJIA MBEYA

T AARIFA KWA UMMA

UFAFANUZI WA TAARIFA P OTOFU KUHUSU KUFUNGIWA UDAHILI WA WANAFUNZI

KWA MWAKA WA MASOMO 2016/2017

Tarehe 26/7/2016

Kuna ujumbe umesambaz wa na unaendelea kusambazwa kupitia mitandao ya kijamii hasa “Whatsapp “ kuwa Tume ya Vyuo Vikuu nchini imekifungia Chuo Kikuu cha Mbeya kutodah ili wanafunzi kwa mwaka wa masomo 2016/2017 kwa kozi zote.

Ujumbe huo unaodaiwa kutolewa siku ya Jumapili tarehe 24/ 7/2016 wenye kichwa cha habari” TCU YAFUNGIA VYUO VINGINE KUDAHILI” imeorodhesha jumla ya Vyuo ishirini na mbili ikiwemo “University of Mbeya” ujumbe huo umeleta mkanganyiko na kukihusisha Chuo tajwa na Chuo Kiku u Cha Sayansi na Teknolojia Mbeya.

Uongozi wa Chuo unakanusha ujumbe huo kwamba sio kweli n a kuwaomba wananchi kuendelea kutembelea tovuti ya Chuo na Mamlaka zinazohusika na Vyuo ili kupata taarifa zilizosahihi, Mamlaka hizo ni pamoja na TCU na NACTE.

Imetolewa na

Ofisi ya Makamu Mkuu wa Chuo Taaluma, Utafiti na Ushauri wa kitaalamu Chuo Kikuu cha Sayansi na Teknolojia Mbeya (MUST)

Mbeya University of Science and Technology Prospectus

Mbeya University of Science and Technology Short Courses

Mbeya University of Science and Technology Application Procedure ( Undergraduates )

Mbeya University of Science and Technology Application Procedure ( Diploma ) ( Government )

Mbeya University of Science and Technology Undergraduate Admissions

Mbeya University of Science and Technology Diploma Admissions

Mbeya University of Science and Technology Registration

Mbeya University of Science and Technology Contact Address

Mbeya University of Science and Technology Application Forms

Mbeya University of Science and Technology Entry Requirements

Mbeya University of Science and Technology Fees Structure

Mbeya University of Science and Technology Courses Offered

Mbeya University of Science and Technology Pages

Sponsored Links

1 thought on “TAARIFA KWA UMMA”

Leave a Comment