Ratiba ya Maadhimisho ya Kumbukumbu ya 17 ya Mwalimu Julius K. Nyerere
Ni Alhamisi hii tarehe 13 Oktoba, 2016 katika Ukumbi wa “Nelson Mandela Freedom Square” Kampasi ya Solomon Mahlangu.
[embeddoc url=”https://ugfacts.net/wp-content/uploads/sites/3/2016/10/nyerere2016.pdf” download=”all”]
CHUO KIKUU CHA SOKOINE CHA KILIMO MOROGORO
RATIBA YA MAADHIMISHO YA KUMBUKUMBU YA 17 YA MWALIMU JULIUS K. NYERERE, ALHAMISI TAREHE 13 OKTOBA, 2016 “NELSON MANDELA FREEDOM SQUARE” KAMPASI YA SOLOMOMAHLANGU
MUDA |
TUKIO |
MHUSIKA/WAHUSIKA |
|
3.00.3.45 |
Wageni waalikwa kuwasili Kampasi ya Solomon Mahlangu:- |
Wageni |
|
Asubuhi |
“Nelson Mandela Freedom Square” |
Kamati ya Maandalizi |
|
3.00-3.45 |
Wageni Mashuhuri na Mgeni Rasmi kuwasili – Ofisi ya |
Makamu wa Mkuu wa Chuo & Mkurugenzi wa SMC. |
|
Asubuhi |
Mkurugenzi Campus Ya Solomon Mahlangu |
|
|
3.45 Asubuhi |
Wageni Kuelekea Nelson Mandela Freedom Square |
Makamu wa Mkuu wa Chuo, Mkurugenzi wa SMC, wageni |
|
|
|
wote mashuhuri na Mgeni Rasmi |
|
4.00.- 4.10 |
Taarifa kuhusu mhadhara wa kumbukumbu ya Mwalimu J.K. |
Mkuu wa Chuo (Principal) Cha Sanyansi za Jamii na |
|
Asubuhi |
Nyerere |
Humanitia |
|
4:10 – 4:20 Asubuhi |
Makamu wa Mkuu wa Chuo kutoa neno la utangulizi, |
Makamu wa Mkuu wa Chuo |
|
|
utambulisho na kukaribisha wageni |
|
|
4.20- 4.30 |
Mgeni Rasmi Kufungua Mdahalo |
Mheshimiwa Balozi Nicholus .A. Kuhanga |
|
4.30 – 5.15 Asubuhi |
Mchokoza Mada kutoa mada |
Msimamizi (Moderator), Prof. H. Ngowi |
|
|
|
|
|
5.15 – 5.55 Asubuhi |
Wachangia mada |
Prof. Adolf Mkenda |
Dr. Nyantahe, S. |
|
|
Prof Isinika, A.(SUA) |
Mwenyekiti ( MVIWATA) |
|
|
|
|
5.55- 6.05 Mchana |
Shairi |
Rashidi mfaume ( Kivuli _cha Mvumo) |
|
|
|
|
|
6.05 – 6.45 Mchana |
Wachangia mada |
Dr. Tandari, C ( TIC) |
Dr. Festus Limbu ( ESRF) |
|
|
Prof. Benedict Mongula |
Prof Silayo, V. ( SUA) |
|
|
(IDS-UDSM) |
|
6.45- 6.55 Mchana |
Fursa za uwekezaji katika sekta ya kilimo na viwanda _ |
Mwakilishi wa Mkuu wa mkoa wa Morogoro |
|
|
Morogoro |
|
|
6.55-8.30 Mchana |
Maswali na Majibu |
Msimamizi “Moderator” , Mchokoza mada, |
|
|
|
Wachangia mada , Mwenyekiti Kamati ya Maandalizi |
|
8.30- 8.35 |
Neno la shukrani |
Makamu Mkuu wa chuo Taaluma DVC ( AC) |